Wednesday, 26 March 2014

WORLD OF CELEBRITIES:UTANGULIZI

Habari wapendwa,natumaini mko salama na mnaendelea vizuri na shughuli za ujenzi wa Taifa.Napenda kuwafahamisha kuwa nimefungua blog hii itakayo toa habari motomoto na za uhakika kuhusiana na maisha ya watu maarufu ndani na nje ya nchi,vilevile matukio yao kwa ujmla.