Tuesday, 1 April 2014

IRENE UWOYA NA JACKLINE WOLPER WAPATANA.

Waigizaji wa kiwanda cha filamu Tanzania Irene na Wolper.
Hakika chuki,dharau,majivuno na sifa huwa hazijengi na badala yake huchochea uadui miongoni mwa watu. Lakini hayo hukosa nafasi endapo watu wataishi kwa amani kuheshimiana na kutowapa nafasi wambeya kuharibu mahusiano yaliyopo kati yao.


Mastaa wawili wa bongo movie ambao ni vinara katika tasnia hiyo Irene Uwoya na
Jackline Wolper walikuwa katika bifu lililopelekea amani kutoweka miongoni mwao,lakini hali imekuwa shwari baada ya msanii mwenzao Steve Nyerere kuwakutanisha na kuondoa tofauti zao na hivyo mambo yamekuwa shwari na wanaishi kwa amani.

4 comments:

  1. Yap mamy...ni kwel chuki, dharau, majivuno ni v2 ambavyo havijengi hata ckumoja..all in all heshima

    ReplyDelete
  2. Kama ni hivo basi itakuwa vyema.

    ReplyDelete